SERIKALI YA ZANZIBAR IMEAHIDI USHIRIKIANO NA WANAHABARI

Serikali ya awamu ya nane itaendelea kushirikiana na waandishi wa habari kwa kundoa vikwazo wanavyokabiliana navyo  katika upatikanaji wa taarifa kutoka taasisi za serikali. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleima Abdulla ameleza hayo katika shughuli ya maadhimisho ya siku ya uhuru wa Habari duniani iliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul