SERIKALI YA ZANZIBAR IMEAHIDI USHIRIKIANO NA WANAHABARI
Serikali ya awamu ya nane itaendelea kushirikiana na waandishi wa habari kwa kundoa vikwazo wanavyokabiliana navyo katika upatikanaji wa taarifa kutoka taasisi za serikali. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleima Abdulla ameleza hayo katika shughuli ya maadhimisho ya siku ya uhuru wa Habari duniani iliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed